a
Mwa 7:11
,
20
;
2Fal 19:37
;
Yer 51:27
Genesis 8:4-5
4
a
katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.
5
Maji yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.
Copyright information for
SwhKC